FIFA limeitoza Shirikisho la Soka nchini Senegal faini ya Takribani TSh. Milioni 418 Kisa Vitochi


FIFA limeitoza Shirikisho la Soka nchini Senegal faini ya Takribani TSh. Milioni 418 kwa kutumia tochi ‘Lasers’ pia kuwasha fataki, kuvamia uwanjani na kushindwa kuhakikisha usalama na amani wakati wa mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Misri. Aidha, imeamriwa kuwa mchezo wake mmoja itacheza bila mashabiki.
______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad