AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
FIFA limeitoza Shirikisho la Soka nchini Senegal faini ya Takribani TSh. Milioni 418 kwa kutumia tochi ‘Lasers’ pia kuwasha fataki, kuvamia uwanjani na kushindwa kuhakikisha usalama na amani wakati wa mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Misri. Aidha, imeamriwa kuwa mchezo wake mmoja itacheza bila mashabiki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK