Juma Jux Azawadiwa Chupa ya Hennessy ya Milioni 7.5 na Mmiliki wa Kinywaji Hicho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii kutokea hapa nchini #juma_jux akiwa Jijini Paris,Ufaransa amepata bahati ya kukutana na kizazi cha nane cha wamiliki wa kinywaji maarufu duniani ,Hennessy.

Mr Hennessy amemzawadia Juma Jux, chupa ya Hennessy yenye jina lake (Juma Jux) yenye thamani ya shilingi Milioni 7.5 za Kitanzania.

Kupitia ukurasa wake wa instagram #juma_jux ameshare video akiwa na Mr Hennessy na amewajuza mashabiki zake kuwa wakae mkao wa kula kwani mambo makubwa zaidi yanafuata.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad