AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii kutokea hapa nchini #juma_jux akiwa Jijini Paris,Ufaransa amepata bahati ya kukutana na kizazi cha nane cha wamiliki wa kinywaji maarufu duniani ,Hennessy.
Mr Hennessy amemzawadia Juma Jux, chupa ya Hennessy yenye jina lake (Juma Jux) yenye thamani ya shilingi Milioni 7.5 za Kitanzania.
Kupitia ukurasa wake wa instagram #juma_jux ameshare video akiwa na Mr Hennessy na amewajuza mashabiki zake kuwa wakae mkao wa kula kwani mambo makubwa zaidi yanafuata.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK