AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki nguli mkali wa RnB Robert Kelly 𝐑.𝐤𝐞𝐥𝐥𝐲 huenda akahukuniwa kifungo cha maisha jele, kulingana na mashataka yanayo mkabili ya uhalifu wa kingono.
Kulingana na mtandao wa Radar Online, kesi yake imepangwa kusikikizwa tena Agosti 1, 2022, akikabikiliwa na mashtaka ya ponografia ya watoto, na kuzuia kesi ambayo inaweza kumfunga maisha gerezani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK