Maskini R Kelly Hatarini Kufungwa Kifungo Cha Maisha

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa


Mwanamuziki nguli mkali wa RnB Robert Kelly 𝐑.𝐤𝐞𝐥𝐥𝐲 huenda akahukuniwa kifungo cha maisha jele, kulingana na mashataka yanayo mkabili ya uhalifu wa kingono.

Kulingana na mtandao wa Radar Online, kesi yake imepangwa kusikikizwa tena Agosti 1, 2022, akikabikiliwa na mashtaka ya ponografia ya watoto, na kuzuia kesi ambayo inaweza kumfunga maisha gerezani. 

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad