Rais Miwnyi Atangaza Ongezeko la Mishahara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15% kwa wafanyakazi wa Visiwani humo.


Rais Mwinyi ametangaza ongezeko hilo Leo Mei 8, katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi kilichofanyika katika Viwanda vya maisara ambapo siku ya Mei Mosi hazikufanyika ili kupisha sikukuu ya Eid El Fitri.


Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6.


Dkt. Mwinyi amesema pia kiwano cicho cha mshahara kitaendana na kiwango cha Elimu ya kila mfanyakazi akitegemea pia kutokana na ongezeko hilo utendaji wa kazi utaongezeka.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad