JIUNGE NA GROUP LA TELEGRAM LA AJIRA YAKO KUPATA AJIRA MPYA ZINAZOTANGAZWA KILA SIKU BONYEZA HAPA
Msanii Shilole amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutunga sheria mpya zitakazowalinda na kuwatetea wanawake kwenye haki zao.
Shilole amesema hilo baada ya tukio la Mwanamke Swalha kupigwa risasi 7 kichwani na mume wake huko Mwanza kisa wivu wa mapenzi.
0 Blogger:
Post a Comment