Shilole Amuomba Rais Samia Kuhusu Sheria Mpya

 


Msanii Shilole amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutunga sheria mpya zitakazowalinda na kuwatetea wanawake kwenye haki zao.

Shilole amesema hilo baada ya tukio la Mwanamke Swalha kupigwa risasi 7 kichwani na mume wake huko Mwanza kisa wivu wa mapenzi.

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad