Shilole Amuomba Rais Samia Kuhusu Sheria Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii Shilole amemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutunga sheria mpya zitakazowalinda na kuwatetea wanawake kwenye haki zao.

Shilole amesema hilo baada ya tukio la Mwanamke Swalha kupigwa risasi 7 kichwani na mume wake huko Mwanza kisa wivu wa mapenzi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad