Zari Hassan The Boss Lady Mama Watoto wa Diamond Platnumz Atua Bongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mfanyabiashara na Msanii maarufu kutokea Uganda mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini, @ZariTheBosslady ametua Tanzania kwa zoezi la kurejesha kwa jamii kuelekea siku ya hedhi salama duniani Mei 28 mwaka huu.


Zari yuko Tanzania ambapo katika sehemu ya zoezi hilo mapema leo Mei 14 2022 ametoa taulo za kike kwa shule za msingi na sekondari kwa wanafunzi wa kike kuelekea siku hiyo inayoadhimishwa kila mwaka duniani.


Zari kama balozi wa Dowecare akishirikiana na kampuni hiyo wametoa msaada huo wa taulo za kike kwa shule za Msingi na Sekondari za wilaya ya Misungwi.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad