AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania, akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Amesema, "Mimi Urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika Siasa kuweza kuiongoza Nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais mwaka 2025"
Amesema uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mungu, Chama lazima kitoe dhamana na baadaye wananchi. Pia kama Vyama vya Upinzani vikishirikiana kutoa Mgombea inawezekana nikawa mimi au mwingine"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK