Bingwa Ligi Kuu kuondoka na Sh600 milioni, kombe jipya latambulishwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Bodi ya Ligi imetaja kitita cha Sh 1.8 Bilioni kama zawadi na bonusi kwenye Ligi msimu huu huku bingwa akitengewa Sh 100 milioni kutoka NBC na Sh 500 Milioni kutoka Azam.

Ofisa mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kassongo amebainisha hayo leo wakati wa kutambulisha kombe atakalokabidhiwa bingwa wa msimu huu.

Amesema mshindi wa pili ataondoka na Sh50 milioni kutoka NBC na Sh250 milioni kutoka Azam.

"Watatu atazawadiwa Sh30 milioni kutoka kwa mdhamini wa Ligi, lakini pia 225 kutoka Azam," amesema.


 
Katika zawadi hizo, NBC imetenga Sh20 milioni kwenye zawadi ya timu yenye nidhamu.

Kuhusu kombe, Kassongo amesema muonekano wa kombe la ligi utakuwa wa kombe lililotambulishwa leo hadi pale itakavyoamuliwa vinginevyo.

"Bingwa atakaa nalo mwezi mmoja na kulirejesha endapo atalitetea mara tatu ndipo atalichukua moja kwa moja,".
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad