Diamond Platnumz na Zari Hassan Wakutana Nairobi Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Supastaa Diamond Platnumz amewasili leo jijini Nairobi nchini Kenya kwa mujibu wa chapisho lake kupitia Insta story.

Bila kuweka wazi zaidi kuhusu safari yake hiyo ya mjini Nairobi, Diamond ame-share kipande kidogo cha video akiwa ndani ya ukumbi wa CIP Lounge katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dare es salaam. “Nairobi Usiku wa leo!”. Yalisomeka maneno ya Diamond.

Diamond amewasili nchini Kenya muda mmoja na mzazi mwenzie Zarina Hassan.

Kwa upande wa Diamond bado haijawekwa wazi ni kipi kilichompeleka nchini humo japo kwa upande wa Zari yeye anatazamiwa kuandaa sherehe yake ya kila mwaka ya All White Party jijini Nairobi leo Juni 9.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chuo cha Brooklyn City alitaja kuwa hafla hiyo ya hadhi ya juu itafanyika XS Millionaires Club na mashabiki wake wote wamealikwa kuhudhuria.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad