Mariah Carey Ameripotiwa Kufikishwa Mahakamani Kwa Kosa la Hatimiliki Kupitia Wimbo wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji nyota wa muziki toka Marekani, Mariah Carey ameripotiwa kufikishwa mahakamani kwa kosa la hatimiliki kupitia wimbo wake "All I want for Christmas is you".


Kwa mujibu wa nyaraka zilizodakwa na TMZ, mwimbaji Andy Stone anasema aliandika wimbo wa "All I want for Christmas is you" mapema mwaka 1989. Anadai kuwa wimbo huo ulipata mafanikio makubwa kwa kuingia kwenye charts za billboard 1993, huku wimbo wa Mariah Carey ulitoka 1994 ukiwa unapatikana kwenye album yake iliyoitwa "Merry Christmas".


Hata hivyo Andy Stone anadai kuwa Mariah na team yake hawakuwahi kuomba kibali cha kutumia jina la wimbo huo hivyo anataka alipwe kiasi cha $20 Milioni ambazo ni takribani Tsh Bilioni 46.5 kama fidia.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad