Mwijaku: Diamond angekuwa na hela ndugu zake wasingekuwa wanalia na shida za 20,000

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mtangazaji huyo wa Clouds FM ameeleza kuwa yeye hayupo Upande wa Diamond na kuwa hata safari ya Mwanza hakupelekwa na Diamond bali alipelekwa na Wasafi bet kwa sababu wote ni mabalozi wa kampuni hiyo ya kubet.

Mwijaku anasema wakati yupo Mwanza na @diamondplatnumz alimuuliza yeye kalipwa bei gani maana wote ni mabalozi.

Mwijaku amehoji kuwa kama Diamond angekuwa na hela ndugu zake wasingekuwa na shida huku akimtolea mfano Ricardo Momo kuwa alimuomba hela ya Luku Tsh 20,000.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad