AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji huyo wa Clouds FM ameeleza kuwa yeye hayupo Upande wa Diamond na kuwa hata safari ya Mwanza hakupelekwa na Diamond bali alipelekwa na Wasafi bet kwa sababu wote ni mabalozi wa kampuni hiyo ya kubet.
Mwijaku anasema wakati yupo Mwanza na @diamondplatnumz alimuuliza yeye kalipwa bei gani maana wote ni mabalozi.
Mwijaku amehoji kuwa kama Diamond angekuwa na hela ndugu zake wasingekuwa na shida huku akimtolea mfano Ricardo Momo kuwa alimuomba hela ya Luku Tsh 20,000.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK