RC Arusha: Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya tukio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo.

“Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya tukio la machafuko kutokea” – Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella

Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad