AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Humphrey Polepole Balaozi wa Malawi anayeiwakilisha Tanzania, kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika ujumbe kuhusiana na siku ya Baba Duniani.
Balozi Polepole Ameandika..✍️
"Ubaba si kuzaa tu, Ubaba Kulea! Kongole kwa wababa wote wanaolea. Happy Fathers Day! Baba Kuzaa na kutokulea ni uhuni! Kazi ni Moja, Kuchapa kazi #kataawahuni"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK