Wezi Wavunja Kanisa na Kuiba PESA za Sadaka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Polisi Kaunti ya Kericho nchini Kenya wanachunguza tukio la wizi lililotokea kanisani baada ya Watu wanaodaiwa kuwa ni wezi kuvamia Kanisani katika makazi ya Wachungaji wa Parokia ya Litein na kuharibu mali pamoja na kuiba pesa kiasi ambacho bado hakijabainishwa.

Wezi hao walivamia eneo la Kanisa katika Parokia ya Kikatoliki ya Mtakatifu Mark siku ya jumanne usiku wakati Wachungaji wakiwa wamelala kulingana na ripoti kutoka kwa DCI Kenya.

Taarifa kutoka kwa mmoja wa Maparoko Kanisani hapo aliyejulikana kama Paroko Fr Moses Langat ameeleza kuwa wezi hao waliingia Kanisani na kuharibu mali na vifaa vya kuendeshea ibada pamoja na vyombo vilivyotumiwa kuhifadhi Ekaristi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad