H Baba Afunguka Kwa Mara ya Kwanza "Sijawahi Mpa Talaka Flora Mvungi...Ananikomoa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwimbaji H.Baba afunguka namna alivyochukizwa na kitendo cha aliyekuwa mkewe Flora Mvungi kuandika ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa instagram siku chache nyuma.


"Unajiita baba halafu wanao wanalelewa ukweni. Pambana wewe! Baba sio jina la ubatizo mfyuuu".... ilisomeka sehemu ya ujumbe huo mrefu wa Flora kupitia ukurasa wake ambao ni wazi kuwa ulienda kwa mzazi mwenzie H.Baba waliyepata nae watoto wawili.


Akizungumza kwenye Chill na Sky, H.Baba amekiita kitendo hicho ni ukosefu wa heshima na nia ya Flora ni kutaka kumkomoa. H.Baba pia amebainisha kuwa hajawai kumpa talaka Flora Mvungi, licha ya sasa kuwa ni walezi tu kwa watoto wao.


Kadhalika na hilo, H.Baba amewachana baadhi ya wasanii wakike Bongo wenye tabia za kuharibu ndoa/mahusiano ya watu ambao ndio walioharibu mahusiano yake na Flora.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad