Hatimaye Aliyekuwa Golikipa wa Yanga Afunguka Kuhusu VIDEO Chafu "Waliunga Unga Video Kunichafua"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 "WALIUNGA UNGA PICHA"- KABWILI

"Kwenye maisha kuna changamoto nyingi sana. Kukaa kimya ni jambo sahihi sana. Waliiunga unga picha kunichafua mimi na Ugali wangu, Changamoto niliyopitia sikuwa vizuri sana kiakili meneja wangu aliripoti polisi na Muhusika ameshakamatwa na kesi ipo mahakamani. Nilipata changamoto ambayo ningeweza hata kumpoteza mama yangu. Ilifikia hatua mama yangu alikuwa analia na Mimi nilikuwa nalia" Kabwili , aliyekuwa Golikipa wa klabu ya Yanga.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad