AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"WALIUNGA UNGA PICHA"- KABWILI
"Kwenye maisha kuna changamoto nyingi sana. Kukaa kimya ni jambo sahihi sana. Waliiunga unga picha kunichafua mimi na Ugali wangu, Changamoto niliyopitia sikuwa vizuri sana kiakili meneja wangu aliripoti polisi na Muhusika ameshakamatwa na kesi ipo mahakamani. Nilipata changamoto ambayo ningeweza hata kumpoteza mama yangu. Ilifikia hatua mama yangu alikuwa analia na Mimi nilikuwa nalia" Kabwili , aliyekuwa Golikipa wa klabu ya Yanga.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK