Aliyekuwa mke wa Harmonize, mwanadada Sarah Atinga Mahakamani Kudai Mgawanyo wa Mali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa mke wa Harmonize, mwanadada Sarah Michelotti leo amefika mahakama maalum inayoshughulikia kesi za talaka, mirathi na watoto wilaya ya Temeke, Dar es salaam ikiwa ni muendelezo wa madai ya talaka kati yake na Harmonize

Pia inadaiwa Sarah anataka talaka na mgawanyo wa baadhi ya mali ambazo bado zipo kwa Harmonize

Ikumbukwe kuna muda Harmonize alihojiwa akasema walishamalizana na Sarah, lakini mrembo huyo aliibuka kusema sio kweli kuna mambo Harmonize anadanganya
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad