Mkurugenzi Mwingine PSSSF Ajikopesha TSH Milioni 200 Kununua Gari Binafsi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mkurugenzi wa Mifumo ya TEHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Gilbert Chawe, amefikishwa kwenye Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma akituhumiwa kukiuka taratibu za Mfuko huo

Chawe alitumia Fedha za Umma Tsh. Milioni 200.7 kununua Gari binafsi pamoja na kulipa kodi ya ununuzi huku akijua Fedha hizo hazikutengwa kwenye bajeti ya Mwaka 2020/21.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad