AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi wa Mifumo ya TEHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Gilbert Chawe, amefikishwa kwenye Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma akituhumiwa kukiuka taratibu za Mfuko huo
Chawe alitumia Fedha za Umma Tsh. Milioni 200.7 kununua Gari binafsi pamoja na kulipa kodi ya ununuzi huku akijua Fedha hizo hazikutengwa kwenye bajeti ya Mwaka 2020/21.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK