AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa CHADEMA amesema kuundwa kwa Kikosi Kazi ni matumizi mabaya ya Fedha za Watanzania na hivyo Serikali itoke hadharani na iseme kimetumia Fedha kiasi gani
Asema Maoni ya Wananchi kuhusu #Katiba yalikusanywa na Tume ya Warioba, hivyo hakukuwa na haja ya kuundwa kwa Kikosi Kazi zaidi ya kurudi kwenye kitabu cha Maoni ya Wananchi kilichoandaliwa na Tume ya Jaji Warioba
Ripoti imetoa Mapendekezo 18 ikiwemo Kuruhusiwa Mikutano ya Kisiasa na Kuendelea Mchakato wa Katiba Mpya ingawa Rais Samia alitoa angalizo kwamba mapendekezo hayo siyo Amri kwa Serikali.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK