AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayawi hayawi sasa yamekuwa @wolperstylish na @richmitindo wamefunga ndoa takatifu katika kanisa la St Peter’s Mikocheni Dar Es Salaam na kuhudhuriwa na watu wachache ambao ni ndugu.
Wawili hao kwa pamoja waliapa kupendana mpaka kifo kiwatenganishe.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK