AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Adam Malima ametoa siku saba kwa viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa huo kufanya opereshi na kuwakamata waliohusika na mauaji ya Joseph Mathias mwenye umri wa miaka 50 mkazi wa Kijiji cha Ngulla Wilayani Kwimba Mkoani Mwanza ambae ni mlemavu wa ngozi
Joseph ameuwawa kwa kukatwa panga na watu wasiojulikana kwenye mkono wake wa kulia usiku wa kuamkia leo Novemba 3/2022 akiwa nyumbani kwakwe.
Inaelezwa kuwa watu
hao ambao idadi yao bado haijafahamika walivamia nyumba aliyokuwa akiishi Joseph Mathias na familia yake na kisha kutekeleza mauaji hayo
Mwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu mkoa wa Mwanza Alfred Kapole amesikitishwa na tukio hilo na kuiomba jamiii kuacha kufanya vitendo vya kikatili
kwa upande wake Kaimu kamanda wa polisi Mkoa wa Mwanza Mairi Makori amesema hadi Sasa tayari wanawashikilia watu watatu katika tukio hilo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK