Ronaldo Goli Amepewa kama zawadi- Kocha wa Ghana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kocha wa Ghana Atto Oddo amemkosa mwamuzi kwa kutoa adhabu ya mkwaju wa penati ambayo imempa nafasi Cristiano Ronaldo kuweka rekodi ya magoli katika mchuano wa Kombe la Dunia kwa kuiita hatua hiyo kama zawadi maalumu.


Ushindi wa jana kwa Ronaldo unamfanya awe mchezaji pekee wa kwanza wa kiume kuibuka na ushindi katika michuano mitano tofauti ya Kombe la Dunia.


Katika mechi hiyo Ureno Ureno iliibuka na ushindi wa magoli 3-2 mbele ya Ghana.


Kocha Addo amesikika akisema ” kama mtu amefunga goli anastahili pongezi. Lakini goli hili kwa kweli ilikuwa zawadi maalum. Sina zaidi la kusema, ilikuwa ni zawadi maalum kutoka kwa kocha.”


Ukosoaji huo wa moja kwa moja wa Addo kwa mwamuzi Ismail Elfath unaweza kumwingiza matatizoni na Shirikisho la Kandanda ulimwenguni FIFA.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad