Matokeo ya Simba na Dodoma Jiji Haya Hapa

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa



Simba wametoka vifua mbele ya Dodoma jiji kwa Goli moja bila , goli limefungwa na Jean Baleke

Mechi yake ya kwanza akiwa amevaa uzi wa Simba, mechi yake ya kwanza Ligi Kuu ya NBC, JEAN OTHOS BALEKE anapasia vyavu dhidi ya Dodoma Jiji na kuweka alama Msimbazi na Ligi Kuu!

HT| DODOMA JIJI FC 0-1 SIMBA
⚽️ Jean Baleke 45+1’

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad