Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Simba wametoka vifua mbele ya Dodoma jiji kwa Goli moja bila , goli limefungwa na Jean Baleke
Mechi yake ya kwanza akiwa amevaa uzi wa Simba, mechi yake ya kwanza Ligi Kuu ya NBC, JEAN OTHOS BALEKE anapasia vyavu dhidi ya Dodoma Jiji na kuweka alama Msimbazi na Ligi Kuu!
HT| DODOMA JIJI FC 0-1 SIMBA
⚽️ Jean Baleke 45+1’
LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com