Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA
Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA
Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA
Simba wametoka vifua mbele ya Dodoma jiji kwa Goli moja bila , goli limefungwa na Jean Baleke
Mechi yake ya kwanza akiwa amevaa uzi wa Simba, mechi yake ya kwanza Ligi Kuu ya NBC, JEAN OTHOS BALEKE anapasia vyavu dhidi ya Dodoma Jiji na kuweka alama Msimbazi na Ligi Kuu!
HT| DODOMA JIJI FC 0-1 SIMBA
⚽️ Jean Baleke 45+1’
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Tanzania Zipo HAPA
Ufadhili wa Masomo ( Scholaships) Bonyeza HAPA
0 Comments