AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura, amesema kuwa Jeshi la Polisi limefanya uchunguzi na kuona upo umuhimu wa kurekebisha mfumo wa utoaji wa leseni za udereva ili kudhibiti ajali za barabarani.
IGP Wambura ametoa kauli hiyo baada ya kufanya kikao na wakuu wa polisi wa usalama barabarani wa mikoa yote Tanzania, wakaguzi wa magari na watahini wa madereva hii leo Februari 21, 2023 jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho kimelenga kuwakumbusha mambo ya kuzingatia katika utendaji kazi, usimamizi, ufuatiliaji na kuona namna bora ya kuondokana na ajali za barabarani ikiwa ni pamoja na kuboresha mfumo wa utoaji wa leseni za udereva.
Hii ni sambamba na kutoa mafunzo kwa wakaguzi wa magari na watahini wa madereva wapya ambao watapewa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia nidhamu, haki, weledi na uadilifu
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK