Mke wa Dr. Mwaka amuomba Rais Samia kuingilia kati sakata lake, aomba ulinzi

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa


Siku ya jana wakati Queen ambaye ni mke wa Dr. Mwaka amemuomba Rais Samia kuingilia kati sakata lake na Dr.Mwaka ambalo limechukua muda mrefu sana kutotolewa kwa talaka.

Queen amedai kuwa usalama wake upo hatarini sana kwa sababu kila siku kuna gari huenda kupake karibu na nyumba yake na hajui kitu gani kinaendelea.

Mbali na hilo alipewa siku 21 na bado siku 8 tu na hajui kitu gani kitaenda kumtokea baada ya siku hizo 8 kumalizika.


_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad