TANZIA: Msanii na Mwanaharakati Babu Sikare maarufu Albino Fulani Afariki Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii na Mwanaharakati wa kutetea haki za Watu wenye ulemavu wa ngozi, Babu Sikare maarufu Albino Fulani amefariki Dunia alfajiri ya leo February 08,2023.

Babu Sikare amefariki huko Columbus, Ohio nchini Marekani alipokuwa akiishi na kufanya shughuli zake za muziki.

Msanii Wakazi amesema “Amefariki Marekani alfajiri hii, alikuwa anaumwa, siwezi kuongea zaidi mpaka nipewe ruhusa na Familia na nisipopewa ruhusa siwezi kuongea cha ziada, ni Rafiki yangu wa karibu alikuwa anaumwa kwa muda mrefu hali yake ilikuwa inaimarika halafu inaenda vibaya na kwa bahati mbaya amefariki”

Naye Mwanamitindo Flaviana Matata amesema “Nimetoa pole kama Rafiki, alikuwa Mtu mwema sana, kuongea na Vyombo vya Habari niachie Familia kuheshimu privacy yake kama Familia ndio wanaweza kuongelea”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad