Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Ameandika Mtangazaji maarufu wa Radio na Tv Tanzania, Mwijaku kuhusu ndoa ya Paula Kajala
,"Namuwaza #VANYBOY na #KONDEBOY wana hali gani ? NDOA SIO KWAPA USEME KULA MTU AIPATE"
Ila kwenye twitter amekuwa na kauli tofauti, Mwijaku ameandika,
"Mikosi mingine mnajitakiaga wenyewe mtoto hata shule hajamaliza una muhusisha na zinaa ya ukubwani . AKIOLEWA na KUDUMU kwenye NDOA uniite NGURUWE PORI nimekaa paleee CMG natangaza Kipindi #LT"
LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com