Mwijaku Atia Neno Ndoa ya Paula Kajala ""Mikosi Mingine Mnajitakiaga, Akiolewa na Kudumu Kwenye Ndoa Mniite Nguruwe Pori"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

ndoa ya Paula Kajala

 Ameandika Mtangazaji maarufu wa Radio na Tv Tanzania, Mwijaku kuhusu ndoa ya Paula Kajala 

,"Namuwaza #VANYBOY na #KONDEBOY wana hali gani ? NDOA SIO KWAPA USEME KULA MTU AIPATE"

Ila kwenye twitter amekuwa na kauli tofauti, Mwijaku ameandika, 

"Mikosi mingine mnajitakiaga wenyewe mtoto hata shule hajamaliza una muhusisha na zinaa ya ukubwani . AKIOLEWA na KUDUMU kwenye NDOA uniite NGURUWE PORI nimekaa paleee CMG natangaza Kipindi #LT"

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad