Ticker

6/recent/ticker-posts

Mwanasheria wa Yanga Afunguka Sakata la Fei Toto "Kijana Kapoteza Nafasi ya Kucheza Mpira"

Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA

Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA

Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA




Kutoka kwenye Twitter ya Mwanasheria wa Yanga SC @simon.esq , Ameandika Hizi kauli 6 kuhusu Ishu ya Feisal Salum,


"Mtazamo Wangu:

- Yanga imepoteza mchezaji wake.

- Kijana kapoteza nafasi ya kucheza mpira.

- Aliyenyuma ya Kijana kafanikiwa kumuharibia maisha.

- Familia ya Kijana imenufaika kimaisha.

- Wanasheria wa Kijana wamejitengenezea pesa.

- Waandishi wamefanikiwa kutengeneza Content."

Post a Comment

0 Comments