Mwanasheria wa Yanga Afunguka Sakata la Fei Toto "Kijana Kapoteza Nafasi ya Kucheza Mpira"

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa




Kutoka kwenye Twitter ya Mwanasheria wa Yanga SC @simon.esq , Ameandika Hizi kauli 6 kuhusu Ishu ya Feisal Salum,


"Mtazamo Wangu:

- Yanga imepoteza mchezaji wake.

- Kijana kapoteza nafasi ya kucheza mpira.

- Aliyenyuma ya Kijana kafanikiwa kumuharibia maisha.

- Familia ya Kijana imenufaika kimaisha.

- Wanasheria wa Kijana wamejitengenezea pesa.

- Waandishi wamefanikiwa kutengeneza Content."

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad