TANAPA yataja sababu simba aliyeuawa kuitwa 'Bob Junior'

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa


Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) limetaja sababu ya simba maarufu Kaskazini mwa Tanzania aliyeishi katika Hifadhi ya Serengeti, ‘Bob Junior’ kupewa jina hilo.


Akizungumza na waandishi wa habari Kamishna wa uhifadhi wa shirika hilo, William Mwakilema amesema simba huyo aliyeuawa Machi 11, 2023 baada ya kushambuliwa na kundi la simba watatu waliokuwa na njama ya muda mrefu ya kuuangusha utawala wake lilitokana na kuwa na nywele nyingi zilizoota kifuani mwake ambazo zilikuwa ni nyeusi ambazo watu wengi walizifananisha na za msanii maarufu wa Reggae marehemu Bob Marley.

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad