Matokeo ya Yanga Vs Singida Big Stars Leo 21 May 2023 ASFC

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Matokeo ya Yanga Vs Singida Big Stars Leo 21 May 2023 ASFC


Matokeo ya Yanga Vs Singida Big Stars Leo 21 May 2023 ASFC

Timu hizo zinatarajiwa kuvaana leo Jumapili katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida.

Yanga itacheza dhidi ya Singida wakiwa wametoka kufuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuwaondoa Marumo Gallants ya nchini Afrika Kusini kwa ushindi wa mabao 4-1.

Mechi hiyo itakapoanza, utaweza kufuatilia matokeo ya moja kwa moja ya Yanga vs Singida Big Stars, matokeo ya dakika baada ya dakika na takwimu za mechi hiyo.

MATOKEO: 

YANGA 1:0 SINGIDA BIG STARS

Mayele

KIKOSI Cha Yanga vs Singida Big Stars Leo tarehe 21 May 2023

Djigui Diara

Dickson Job

Kibwana Shomari

Bakari Mwamnyeto

Bacca

Khalid Aucho

Moloko

Mudathir Yahya

Musonda

Clement Mzize

Aziz Ki

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad