Prof Jay Aingia Studio Baada ya Kupona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msaani nguli wa Hip-Hop Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay ameonekana akiwa studio akirekodi wimbo ikiwa ni baada ya mwaka mmoja tangu atoe nyimbo ya Hands Up aliyomshirikisha G-Nako.


Jay ameonekana akiwa studio kwa Binladen ambapo aliandika ujumbe kwenye mitandao yake kijamii uliosomeka; “Asante Mungu, back to the business again, studio session with my young brother Binladen,”


Ikumbukwe takribani miezi 16 imepita tangu alipoanza kupigania maisha yake kitandani, Januari 2022, alijitokeza hadharani mwanzoni mwa mwezi Mei mwaka huu baada ya kupona na kuchapisha jumbe kwenye mitandao yake akiwashukuru madaktari, Mungu na viongozi kwa maombi na misaada yao kwake.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad