Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Msanii wa Bongo Flava Amber Lulu amesema kuwa anampenda sana Zuchu na anatamani akiwa mkubwa awe kama yeye.
Kupitia insta story yake Amber ameandika;
"Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama Zuchu, nampenda huyu msichana jamani uwii
LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com