AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Club ya Yanga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Vilabu vya soka Barani Afrika ( ACA ) Injinia Hersi said ( @caamil_88 ) leo ametembelea eneo la mafuriko katika kijiji cha Katesh Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara na kutoa pole kwa Waathirika na kuwasilisha misaada.
Taarifa rasmi kwa Waandishi wa Habari imeeleza yafuatayo “ Kwa kuunga mkono wito wa Rais Samia kuelekeza misaada ya haraka Wilayani Hanang, kwa kuunga mkono pia jitihada za Watanzania mbalimbali katika kuwasaidia Waathirika, Club ya Yanga kwa kushirikiana na @gsmfoundation tumechangia vitu vyenye thamani ya Tshs. 40,000,000 pamoja na kutoa fedha taslim shilingi milioni kumi (10,000,000) kupitia akaunti ya mfuko wa Taifa wa Usimamizi wa Maafa”.
Msaada huo umepokewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama akiambatana na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga pamoja na Viongozi mbalimbali walioweka kambi Katesh kusaidia zoezi zima la uokozi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
boost spotify plays is a strategic move to amplify your music's reach and engagement, enhancing visibility in the digital music landscape.
ReplyDelete