AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu kadhaa wamefariki,wengine kujeruhiwa baada ya gari kubwa Scania kudaiwa kufeli break na kwenda kuparamia magari matatu aina ya coaster,Daladala,na gari nyingine ndogo katika eneo la Kibaoni Ngaramtoni,Wilayani Arumeru Mkoani Arusha
Ombeni Kirusha shuhuda wa tukio hilo amesema….“Kilichotokea ni ajali,nilikuwa na gari ndogo nikapisha gari iliyobeba cartepilar ikaparamia magari hayo kulikuwa na magari matatu moja imebeba wazungu,hiace na Mercedes Benz nakusababisha vifo vya watu kadhaa, tumeokoa waliokuwa wanahema watu nane,nilioshuhudia wamefariki walikuwa zaidi ya kumi”Ombeni
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha bado halijatoa taarifa kamili kuhusiana na tukio hilo na tunaendelea kufuatilia ili kupata idadi ya vifo,majeruhi na walionusurika.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK