Mayele Afunguka "Chuki ya Nini Mimi Sio Mtanzania, Nilikosea Kucheza Timu ya Tanzania'

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Fiston Mayele
Fiston Mayele


Mshambuliaji wa Pyramids ya Misri na timu ya Taifa ya DR Congo Fiston Mayele ameweka ujumbe kwenye mtandao wake wa Instagram akionesha kuumizwa na kitu na kuwataja mashabiki wa Yanga alipojibu moja ya comment ya shabiki yake.

Ujumbe wa Mayele unasomeka “CHUKI YA NINI MIMI SIO MTANZANIA ,NILIKOSEA KUCHEZA TIMU YA TANZANIA”

Imumbukwe kabla ya kwenda Pyramids Mayele alikuwa mchezaji wa Yanga.

Tunaendelea kufuatilia ili kubaini chanzo ni nini.
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad