AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshambuliaji wa Pyramids ya Misri na timu ya Taifa ya DR Congo Fiston Mayele ameweka ujumbe kwenye mtandao wake wa Instagram akionesha kuumizwa na kitu na kuwataja mashabiki wa Yanga alipojibu moja ya comment ya shabiki yake.
Ujumbe wa Mayele unasomeka “CHUKI YA NINI MIMI SIO MTANZANIA ,NILIKOSEA KUCHEZA TIMU YA TANZANIA”
Imumbukwe kabla ya kwenda Pyramids Mayele alikuwa mchezaji wa Yanga.
Tunaendelea kufuatilia ili kubaini chanzo ni nini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK