AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania nahodha Mbwana Ally Samatta ameeleza uchu wake wa kurudi kucheza timu moja wapo ya Ligi kuu kandanda Tanzania Bara.
Samatta anatamani kuja kumalizia soka lake nchini ili kujua namna soka la nchi hii linavyoendelea na mabadiliko yaliyopo kwani kuna mabadiliko makubwa tangu alipoondoka.
Mbwana Samatta kwa sasa anacheza katika klabu ya PAOK inayoshiriki Ligi Kuu ya Ugiriki.
Unadhani Mbwana Samatta atarudi kuitumikia klabu gani ?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK