Fiston Mayele Huenda Akarejea Soka la Bongo, Aipa Nafasi Kubwa Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Fiston Mayele Huenda Akarejea Soka la Bongo, Aipa Nafasi Kubwa Yanga
Fiston Mayele

Taarifa zinadai kuwa nyota wa Pyramid, Fiston Kalala Mayele anaipa nafasi kubwa klabu yake ya zamani ya Yanga SC endapo atarejea kucheza soka kwenye ardhi ya Tanzania.

Azam FC ni miongoni mwa timu zinazotajwa kuiwinda saini ya mshambuliaji huyo tishio ambapo wameandaa mshahara wa USD 15,000 Kwa mweziambapo ni zaidi Tsh million 38.

Huku Simba SC mara kadhaa wamekuwa wakitajwa kumwania nyota huyo mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu uliopita.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad