AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiungo Mshambuliji wa Klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua tayari amejiunga na Kikosi cha timu yake ya Taifa ya Ivory Coast ambacho kipo Nchini Ufaransa kikijiandaa na Michezo miwili ya Kimataifa ya Kirafiki dhidi ya Benin na Uruguay.
Ivory Coast ndio Mabingwa wa AFCON 2023, ambako mchezaji huyo pia alipata fursa ya kuitwa kwenye kikosi cha awali.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK