Mamelodi Wanogewa na Mahaba ya Watanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mamelodi Wanogewa na Mahaba ya Watanzania

“Mapenzi ambayo tumekuwa tukiyapata kutoka Tanzania yanavutia” sehemu ya maneno ya DJ Naves akimsimulia nyota wa soka wa Mamelodi Sundowns, Hlompho Alpheus Kekana kile ambacho wanakishuhudia kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii kuelekea mechi yao ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga SC.


DJ Naves ametoa pongezi kwa wote wanaowaowaunga mkono Mamelodi ndani ya Tanzania na kuwataka kujitokeza wakiwa katika mavazi yao ya rangi ya njano, huku wakikumbushana ya kwamba na Yanga pia wanavaa jezi za njano.


Kipi unakishuhudia kwenye kurasa za mitandao ya kijamii ya Mamelodi?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad