AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bao pekee la kiungo Feisal Salum Abdallah dakika ya 13 limeipa klabu ya Azam FC ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.
Kwa ushindi huo, Azam FC inafikisha alama 54 katika mchezo wa 24, ingawa inabaki nafasi ya pili ikizidiwa alama 4 na mabingwa watetezi, Yanga ambao pia wana mechi mbili mkononi.
Kwa upande wao Ihefu SC baada ya kupoteza mchezo huo wanabaki na alama zao 25 za mechi 24 nafasi ya 11.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK