AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo amesema ofisi yake haitaruhusu watu wa majungu, fitina na kupigana 'shot'.
Jokate amesema hayo jana Aprili 20, 2024 baada ya kupokewa na vijana wa CCM Zanzibar, kisha kuzungumza nao katika viwanja vya Gymkhana.
"Kama kuna watu walikuwa wamezoea kupigana majungu na mashot vijana wenzetu, kupigana fitna na kurudisha a nyuma mwisho leo," amesema Jokate.
Jokate ametaka ofisi yake itumike kwa vijana kuleta mawazo chanya na fursa za kuleta maendeleo nchini.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK