Huyu Hapa Mwamuzi Simba Vs Al Ahly CAF Robo Fainali

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Huyu Hapa Mwamuzi Simba Vs Al Ahly CAF Robo Fainali

MWAMUZI Alhadi Allaou Mahamat (37) kutoka Chad 🇹🇩 ndiye atakayeamua mechi ya mkondo wa pili wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba na Al Ahly itakayopigwa Ijumaa huko Cairo, Misri.

Majira ya saa 5 usiku Simba itashuka katika Uwanja wa Cairo kuamua hatima ya kwenda nusu fainali baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 katika Uwanja wa Mkapa wiki iliyopita. Mwamuzi huyo aliwahi kuchezesha mechi ya Yanga ilipopoteza mbele ya CR Belouzdad kwa mabao 3-0 ugenini katika hatua ya makundi.
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad