Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Majira ya saa 5 usiku Simba itashuka katika Uwanja wa Cairo kuamua hatima ya kwenda nusu fainali baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 katika Uwanja wa Mkapa wiki iliyopita. Mwamuzi huyo aliwahi kuchezesha mechi ya Yanga ilipopoteza mbele ya CR Belouzdad kwa mabao 3-0 ugenini katika hatua ya makundi.
LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com