Edo Kumwembe Afunguka "Simba Sio Ngumu Kufungika, Wanaruhusu Mabao"

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Edo Kumwembe Afunguka "Simba Sio Ngumu Kufungika, Wanaruhusu Mabao"

“Ilichukua dakika nne tu Simba kuruhusu bao ambalo hakuna aliyejua lingebakia kuwa la pekee la mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya mechi nyingine tatu zilizobakia kwenda suluhu ya bila kufungana wikiendi iliyopita.
.
Ndio, haikushangaza sana. Imekuwa kawaida ya Simba kuruhusu mabao. Simba sio ngumu kufungika. Kama wiki chache tu zilizopita ilimruhusu Samson Mbangula kufunga mabao mawili pale Morogoro basi ingekuwa ngumu kuwazuia Al Ahly wasipate bao Temeke.Ndicho kilichotokea.” — Edo Kumwembe.
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad