JAFO : Hoja ya Watu wa Bara Kuingia Zanzibar Kwa Pasipoti ni Kuturudisha Nyuma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

JAFO : Hoja ya Watu wa Bara Kuingia Zanzibar Kwa Pasipoti ni Kuturudisha Nyuma

DODOMA: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani Saidi Jafo amesema hoja ya kutaka kurejesha utaratibu wa Watu wa #TanzaniaBara kuingia #Zanzibar kwa Pasipoti ni kurudisha nyuma Muungano


Amesema “Kaka yangu pale alipozungumza kwamba, kwanini Watu wasiingie na Pasipoti Zanzibar, nikasema aah! Kaka wazo zuri lakini unataka kuturudisha nyuma. Serikali ya Awamu ya Pili chini ya hayati Mzee Mwinyi wakati kule Serikali iliyokuwa chini ya Rais Dkt. Salmin Amour, kipindi kile walikuwa wanajadili jambo hili lilitoka kipindi hicho likaonekana linaleta usumbufu.”


Amesema hayo akimjibu Mbunge wa Konde, Mohammed Said Issa wa ACT Wazalendo aliyesema Zanzibar inahitaji kulindwa, akidai Visiwa vimejaa Watu na wanaweza kukosa pa kuishi siku za usoni, pia alidai ajira za Wananchi wengi wa Zanzibar zimechukuliwa na wageni kama ilivyo upande wa ardhi pia

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad