AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili na anatarajiwa kuitikia wito huo siku ya leo Jumatatu, Aprili 22, 2024.
Japo haijaelezwa anachoitiwa lakini inaweza kuhusishwa na kile Mkuu huyo wa Mkoa alichokisema wakati miaka 40 ya Kumbukumbu ya Waziri Mkuu wa zamani Marehemu Edward Moringe Sokoine kuwa anawajua wale wanaotuma watu wamtukane mitandaoni Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na kwamba miongoni mwao ni Mawaziri.
Kiongozi huyo wa Mkoa wa Arusha aliahidi kutaja orodha ya watu hao Jumatatu iliyopita lakini mpaka leo hajafanya hivyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK