Real Madrid Wanahitaji Alama Nane tu Kuwa Mabingwa, Wainyuka Barcelona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Real Madrid Wanahitaji Alama Nane tu Kuwa Mabingwa, Wainyuka Barcelona


Real Madrid wanahitaji alama nane tu kuwa Mabingwa kati ya 18 wanazowania katika michezo 6 iliyobaki.

Bao la dakika za lala salama la Jude Bellingham limeipatia Real Madrid pointi zote tatu dhidi ya Barcelona katika dimba la Santiago Bernabéu kwenye El Clasico.


FT: Real Madrid 3-2 Barcelona

⚽ Vini Jr 18'

⚽ Lucas 73'

⚽ Bellingham 90+1'

⚽ Christensen 6'

⚽ Lopez 69'.


Real imesogea mpaka alama 11 mbele ya Barcelona kwenye msimamo wa Laliga ikiwa kileleni alama 81 baada ya mechi 32. Barca inasalia nafasi ya pili alama 70 baada ya mechi 32.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad