Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Aliyekuwa Mpenzi wa Harmonize "FridaKajala" amefunguka kuwa kwa sasa anataka kutulia na Mwanaume mmoja na hataki Mwanaume wake awe na ushindani wowote kwenye mahusiano yake.
Mashabiki wengi wamekuwa wanajiuliza Je! Mrembo huyo tayari amepata Mwanaume wa kuendana nae ⁉️.
Kupitia InstaStory Kajala amesema; "Mtu wangu hatakuwa kwenye mashindano na mwanaume mwingine. Sitojali unaonekana vipi, ana nini, au awe nanini. Mwanaume wangu atakuwa daima ananivutia na mzuri zaidi machoni pangu."
LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com