EXCLUSIVE: Dube anakuja Yanga, Aziz Ki afichua 'nitamtengenezea nafasi

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

 

EXCLUSIVE: Dube anakuja Yanga, Aziz Ki afichua 'nitamtengenezea nafasi

Kwa Mujibu wa Aziz Ki, msimu ujao hatakuwa mfungaji bora kwa kuwa atakuwa na kazi ya kumtengenezea Asisst Prince Dube pamoja na Guede ili wafunge mabao na haitakuwa tena kazi yake kufunga kwa kuwa yeye sio mshambuliaji.


Aziz Ki amefunguka hilo alipokuwa Insta Live akizungumza na mmoja wa staff wa Yanga dawati la Digital.


"Mimi ni kiungo mshambuliaji hivyo sitakuwa na jukumu la kufunga, nitakuwa na kazi ya kuwatengenezea Dube na Guede wafunge," alisema Aziz.

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad