Prof.Mwandosya: Magufuli Hajawahi Hata Kuwa Mjumbe wa Tawi la CCM...Iweje Apewe Urais Leo...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Prof. Mwandosya amenukuliwa akisema kuwa Magufuli haifahamu na haijui CCM kwa kuwa hajawai kuwa hata mjumbe wa tawi la CCM.

Aidha ameweka wazi kutoridhishwa na mchakato uliofanywa na Kamati Kuu kuipata tano bora na hatimae Magufuli.

Anasema kamati kuu haikuwa na mvuto kiasi kwamba Mwenyekiti J.Kikwete hakuwa anajiamini,alifika wakati ana-adress kwa mwenyekiti na kujishtukia "kumbe mwenyekiti ni mimi mwenyewe".

Profesa amesisitiza kuwa watu walikuja na majina mifukoni kwani majina yalivuja kabla hata vikao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Na sisi tutawakata onto a 25 hao ccm

    ReplyDelete
  2. Mark run!run mark!kimbia baba! karibu UKAWA mnyambala tunasubiri ujio wako maana hizo ni dalili kwamba unakuja.

    ReplyDelete
  3. Mungu akiamua kumuinua mtu hangalii humuinua mnyonge toka mavumbini nakumpandisha yeye haangali kama wanadamu watazamavyo hakili za Mungu hazichunguziki wewe unawaza kibinadam lakin hakuna mtualiwaza kuwa anaweza kuwa Magufuli mpango wa Mungu hauzuiliki wanadamu watapinga lakini Mungu akisema ndio ni ndio wanadamu watacheleweshatu lakini utatimia na lazima utimie wewe una lalamika kwa sababu na wewe hukupi piga picha kama ungepita haya malalamiko onge yatolea wapi pole sana coz unawaza kibinadamu laiti ungejua usinge ongea unge kaa kimya ukimya nao unasaidia ila tunacho omba Mungu atupe kiongozi anaye mtaka yeye sio wanao mtaka wanadamu Mungu itazame tenza Tanzania ombi langu kwa Mungu aikumbuke Tanzania ainusuru.

    ReplyDelete
  4. Mwandosya ni mwalim wangu ila kwa hili amepotoka.Sasa nataka awaambie watanzania kwanini mwaka 1978 alijiuzuru ukatibu mkuu wa wizara ya viwanda na biashara iliyokuwa chini ya waziri Cleopa David Msuya?

    ReplyDelete
  5. Haijalishi tuna angalia utendaji wake wao waliokuwa makatibu kata wamefanya nini ktk uongozi wao hao wote wanao mjadili magufuli ni team lowasa ikulu ya Magufuli zamu yake kula bata na yeye,

    ReplyDelete
    Replies
    1. Zamu yake kula bata???Urais sio lelemama, yabid m2 mwenye skills zote.
      Mzee Mwando. amesema ukweli, kama imekuuma, ndo habari, 2nawangoja October.

      Delete
  6. wewe unasema Mwandosya mwalimu wako unaposema amekosea ni wapi?kuongea ukweli?acheni ushabiki hapa,na wananci ndio watakao amua na swala la kuiba kura msahau maana tutakaba mpaka kivuli safari hii.

    ReplyDelete
  7. Eeh Mungu,pengine kwa udhaifu Wangu wa kufikiri naona Magufuli ndie anaefaa kuongoza Watanzania,ni kutokana na utendaji wake tu,Kama anafaa kuwa Raisi Mungu tuonyeshe Watanzania kabla ya October 25.Tunapenda /Tunakuomba amani uliyotumwagia Watanzania iendelee kuwepo.

    ReplyDelete

Top Post Ad