U HEARD: Dancer wa Diamond Platnumz adaiwa kumtelekeza mtoto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni kawaida yangu kila siku kukuletea sori zote za Entertaiment zinazotokea na leo January 10 2016 nakukutanisha na hii kutoka kwenye U Heard ya Soudy Brown kuhusu dancer wa Diamond Platnumz anayefahamika kwa jina la Zungu kumtelekeza mtoto wake, Soudy Brown kapiga stori na mama wa mtoto huyo…..

’Mimi nimezaa na Dancer wa Diamond anaitwa Zungu nilikuwa naishi nae na tukapata nae mtoto anaitwa Faisali lakini kukatokea mizozo kati yangu na yake kulikuwa na msichana mmoja alikuwa anatoka naye anaitwa Rukia Ruki alishawahi kutoka na Rayvany‘;-Swaumu
Source:Millard
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad